Watu zaidi ya 4000 wapata msaada wa IOM kufuatia mafuriko Burundi 24 Julai 2018 Habari kwa Ujumla Pakua Wakazi wa kaya zaidi ya 1000 zilizotawanywa na mafuriko nchini Burundi zipokea msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la wahamiaji, IOM. Audio Credit Siraj Kalyango/ Flora Nducha Audio Duration 1'46" Photo Credit Mafuriko yanayochangiwa na mabadiliko ya tabianchi. Picha: WMO Burundi IOM USAID MAFURIKO