19 Juni 2018
Pakua
Katika jarida la habari hii leo Assumpta Massoi anaangazia.
- Ukatili wa kingono vitani umefurutu ada, waliozaliwa baada ya wazazi kubakwa kupata msaada
- Idadi ya wanaume na watoto wanaobakwa vitani inaongezeka
- Nchini Tanzania FAO yaimarisha mkakakati wa ukombozi kwa wakulima
- Katika makala leo tunazungumza na Seneta mwenye ulemavu toka Kenya akimulika madhila na juhudi za ukombozi
- Mashinani leo tuko Kenya kwake JOSEPHTA OYELA MUKOBE
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
11'20"