18 Juni 2018
Pakua
Katika jarida la habari hii leo Assumpta Massoi anakuletea..
- Yumkini hali ya ukiukaji wa haki za binadamu duniani imefurutu ada wasema Umoja wa Mataifa
- ECA inasema mfumo bora wa treni ni jawabu la adha ya usafiri Afrika
- Nchini Tanzania mkakati umeweka kuhakikisha watu wenye ulemavu hawasalii nyumba katika SDG's
- Katika makala Siraj Kalyango anamulika mazingira na mabadiliko ya tabia nchi
- Mashinani leo tuko Tanga Tanzania kwa afisa wa taasisi ya Kiislamu ya misaada Bwanha Hamis Mlaponi
Audio Duration
11'11"