Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mila zetu za umiliki wa ardhi ndio muarobaini wa mivutano- Jamii ya asili

Mila zetu za umiliki wa ardhi ndio muarobaini wa mivutano- Jamii ya asili

Pakua

Jukwaa la kudumu la watu wa asili la Umoja wa Mataifa linakunja jamvi leo Ijumaa huku washiriki wakiweka msisitizo suala la kujumuisha sheria za umiliki wa ardhi za kimila ili kuepuka mizozo ya umiliki wa ardhi za watu wa jamii hiyo.

 

Akihojiwa na Idhaa ya UN kando ya jukwaa hilo, Dk Elifuraha Laltaika, ambaye ni mtaalamu huru wa jukwaa hilo amesema msisitizo huo unazingatia kwamba..

 

(Sauti ya Dkt. Elifuraha Laltaika)

 

Alipoulizwa iwapo sheria hizo si kandamizi hasa kwa jinsia ya kike kwenye umiliki wa ardhi, Dkt. Laltaika amesema..

 

(Sauti ya Dkt. Elifuraha Laltaika)

 

Jukwaa hilo limefanyika kwa wiki mbili ambapo suala la ardhi ya watu wa jamii ya asili lilipatiwa kipaumbele kikubwa wakati huu ambapo baadhi ya shughuli za maendeleo zinawanyika haki yao ya msingi ya kuendelea kuishi kwenye maeneo yao ya asili.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
1'37"
Photo Credit
UN News