Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto Kenya nao wahifadhi mazingira

Watoto Kenya nao wahifadhi mazingira

Serikali ya Kenya inaendesha  kampeni ya uhifadhi wa mazingira, ambapo elimu ya upandaji miti inatolewa katika shule za msingi ili kuelimisha vijana na jamii kwa ujumla kuhusu umuhimu wa  manzingira.

Pakua

Serikali ya Kenya inaendesha  kampeni ya uhifadhi wa mazingira, ambapo elimu ya upandaji miti inatolewa katika shule za msingi ili kuelimisha vijana na jamii kwa ujumla kuhusu umuhimu wa  manzingira.

Katika makala hii, mwandishi wetu Patrick Newman anatukuletea harakati za vijana wa shule za msingi mashariki mwa Kenya waliopanda miti wakati walipohitimu shule ya msingi mwaka 2012.

Sasa ikiwa ni miaka 6 baada ya zoezi  hilo la  upandaji miti, nini  kilichojiri katika vijiji hivyo? Ungana nae katika makala hii kwa undani zaidi.

Audio Credit
Patrick Newman
Sauti
3'8"
Photo Credit
Picha na FAO