Somalia yaaga Nicholas Kay, aliyeitwa rafiki wa kweli
Pakua
Aliyekuwa Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Ujumbe wa Umoja huo nchini Somalia Nicholas Kay amehitimisha hivi karibuni muda wake kwenye nafasi yake.
Zaidi ya miaka miwili imepita tangu alipofika mjini Mogadishu mwezi Juni mwaka 2013 na viongozi wa Somalia pamoja na wafanyakazi wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNSOM wameandaa hafla maalum kwa yule aliyetajwa kuwa rafiki wa ukweli wa Somalia.
Kwa mengi zaidi kuhusu hafla hiyo, ungana na Priscilla Lecomte kwenye makala hii.