Harakati za kukabiliana na ugonjwa wa fistula nchini Kenya
Pakua
Huku Vifo vya wanawake wajawazito wakati wa kujifungua vikisalia kuwa tatizo kuu, Kenya inakabiliwa na changamoto ya ugonjwa wa fistula, ambao hutokea mama anapojifungua baada ya uchungu wa muda mrefu na kuchanika kutoka sehemu ya haja ndogo hadi haja kubwa.Kulingana na Shirika la Umoja la idadi ya watu duniani UNFPA, kati ya visa 3000 vya Fistula ambavyo vinatokea kila mwaka nchini humo, ni asilimia 7 tu ya wanawake wanapata huduma za matibabu. Katika makala hii ya Joseph Msami, wanawake wazungumzia madhila waliyokumbana nayo baada ya kuugua Fistula.