Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vuta nikuvute baina ya wanyamapori na binadamu Uganda

Vuta nikuvute baina ya wanyamapori na binadamu Uganda

Pakua

Uhifadhi wa mazingira ni muhimu katika kuhakikisha uwepo wa wanyamapori na mimea na hata binadamu. Hata hivyo wakati hatua za kudhibiti uharibifu wa mazingira zikiendelea kuchukuliwa, wanyama nao wanatishia uwepo wa binadamu kutokana na vitendo vyao vya kuharibu mazao ambayo ni tegemeo kwa binadamu.

Mathalani nchini Uganda, kuna vuta nikuvute kati ya jamii za wakulima zinazozunguka mbuga za wanyama na wanyama ambao ni kivutio kwa watalii.

Je hali ikoje na hatua gani zinachukuliwa? Basi ungana na John Kibego katika makala ifuatayo.

Photo Credit
Tembo Picha@UNCEP