Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO yaimarisha Afya ya Mifugo Kupitia mradi wa ISAVET nchini Tanzania

FAO yaimarisha Afya ya Mifugo Kupitia mradi wa ISAVET nchini Tanzania

Pakua

Nchini Tanzania, Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) linaendesha programu ya mafunzo yanayolenga kuboresha ujuzi wa wataalamu wa mifugo katika kudhibiti magonjwa ya wanyama na kuimarisha afya ya mifugo ili kuihakikishia jamii uhakika wa chakula na chakula salama. John Kabambala wa redio washirika wetu KidsTime ya mkoani Morogoro Tanzania amezungumza na wadau kandoni mwa mafunzo hayo. 

Audio Credit
Flora Nducha/John Kabambala
Audio Duration
5'8"
Photo Credit
UN News