Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ninajisikia fahari sana kutatua changamoto za wanawake na watoto wa CAR - Meja Lilian Laizer

Walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaohudumu katika Kikosi cha 7 au TANBAT 7 cha ulinzi wa amani nchini CAR MINUSCA wakitoa huduma za maji kwa raia.
Capt. Emanuel Ngonela
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaohudumu katika Kikosi cha 7 au TANBAT 7 cha ulinzi wa amani nchini CAR MINUSCA wakitoa huduma za maji kwa raia.

Ninajisikia fahari sana kutatua changamoto za wanawake na watoto wa CAR - Meja Lilian Laizer

Amani na Usalama

Makala hii inamwangazia Meja Lilian Laizer, Mlinda amani wa Umoja wa Mataifa anayehudumu katika Kikosi cha 7 cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania TANBAT 7 kinachohudumu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR chini ya MINUSCA ambao ni Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani nchini humo. 

Meja Lilian Laizer anashughulika na masuala ya jinsia na watoto katika kikosi na jamii ya wenyeji.