Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake wanaendelea kuwa na jukumu muhimu katika ulinzi wa amani

Wanawake wanaendelea kuwa na jukumu muhimu katika ulinzi wa amani

Umoja wa Mataifa umesema utaendelea kuwa msitari wa mbele ili kuhakikisha wanawake wanashirikiwa ipasavyo katika masuala ya utafutaji wa amani na usalama na pia ngazi ya maamuzi.