Haki za washitakiwa na waliowekwa vizuizini zinazingatiwa na mkutano wa Nairobi
Wawakilishi 150 ziada kutoka nchi 71 wamekusanyika Nairobi, Kenya wiki hii kuhudhuria mkutano wa UM unaozingatia majukumu ya taasisi za kitaifa zilizobuniwa kulinda na kutekeleza haki za binadamu, kwa kulingana na vyombo vya mahakama, utekelezaji wa sheria na uangalizi wa hali kwenye vituo vya kufungia watu.