Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanajeshi wa UNAMID ameuawa Darfur

Mwanajeshi wa UNAMID ameuawa Darfur

UM umeripoti kwamba askari mmoja wa Afrika Kusini ameuawa na mwengine amejeruhiwa vibaya kutokana na shambulio liliofanyika kilomita 3 kutoka kambi yao iliopo Kutum, Darfur kaskazini.