BU lashauriana juu ya hali katika JKK/msiba wa vimbunga Haiti
Wajumbe wa Baraza la Usalama Ijumaa asubuhi walishauriana, kwenye kikao cha faragha, kuhusu masuala yanayoambatana na hali katika JKK, na msiba wa vimbunga vilivyoathiri kihali Haiti na kuzingatia masuala mengine yanayohusu usalama na amani ya kimataifa.~