22 Agosti 2008
Christian Balslev-Olesen, Mwakilishi kwa Usomali wa Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF), amenakiliwa akisema tatizo la utapiamlo Usomali ni suala lenye utata mkubwa kuhudumiwa na mashirika ya kimataifa.
Christian Balslev-Olesen, Mwakilishi kwa Usomali wa Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF), amenakiliwa akisema tatizo la utapiamlo Usomali ni suala lenye utata mkubwa kuhudumiwa na mashirika ya kimataifa.