Uchaguzi wa uraisi Zimbabwe sio halali, anasema KM
KM Ban Ki-moon, kwenye taarifa iliotolewa kwa kupitia msemaji wake, amelaumu na kushtumu matokeo ya uchaguzi wa uraisi uliofanyika Zimbabwe mwisho wa wiki iliopita, uchaguzi ambao alisisitiza umekosa uhalali chini ya hsreia ya kimataifa.