Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Rwanda na JKK zajadiliana namna ya kudhibiti majeshi ya mgambo kwenye maeneo yao

Rwanda na JKK zajadiliana namna ya kudhibiti majeshi ya mgambo kwenye maeneo yao

Wawakilishi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, mataifa mawili yaliotia sahihi Taarifa ya Nairobi ya Novemba 2007, walikutana New York Ijumaa iliopita kufanya mapitio kuhusu maendeleo katika juhudi za kudhibiti bora makundi ya waasi na wanamgambo wanaochukua silaha nje ya sheria, yaliokuwepo kwenye maeneo yao.