Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Duru ya nne ya mazungumzo ya Sahara ya Magharibi yakaribia

Duru ya nne ya mazungumzo ya Sahara ya Magharibi yakaribia

Duru ya nne ya mazungumzo juu ya kura ya maoni kwa Sahara ya Magharibi yanatazamiwa kufanyika katika mji wa Manhasset, New York kuanzia tarehe 16 hadi 18 Machi.