Skip to main content

Mkutano wa Kamati ya Kuondowa Ubaguzi dhidi ya Wanawake

Mkutano wa Kamati ya Kuondowa Ubaguzi dhidi ya Wanawake

Kamishna mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Bi Louise Arbour hivi karibuni alipongeza kazi za Kamati ya Kuondowa kabisa Ubaguzi dhidi ya Wanawake, inapoadhimisha miaka 25 ya kufuatilia utekelezaji wa mataifa wa makubaliano hayo ya kihistoria.