Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wapiganaji wa Ituri DRC warudisha silaha zao

Wapiganaji wa Ituri DRC warudisha silaha zao

Awamu ya tatu ya zowezi la kuwapokonywa silaha wapiganaji wa zamani wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo huko jimbo la Ituri ilianza wiki hii.