Naibu katibu Mkuu atoa mwito wa kusaidiwa mataifa ya Afrika magharibi yaliyokumbwa na vita
Naibu katibu mkuu Asha-Rose Migiro ametowa mwito wa kuungwa mkono zaidi Guinea-Bissau na mataifa mengine katika kanda hiyo, ambayo yana jikokota kutoka hali ya vita. Alisema hayo baada ya kurudi New York, kufuatia ziara yake ya Afrika wiki iliyopita.