Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ziara ya Katibu Mkuu katika Ikulu ya Marekani

Ziara ya Katibu Mkuu katika Ikulu ya Marekani

Ijumanne KM Ban Ki-Moon alizuru Ikulu ya Marekani mjini Washington DC na kufanya mkutano rasmi, wa awali, na Raisi wa Marekani George Bush. Ziara hiyo ilihusika na hishima za kidiplomasia kwa Serekali Mwenyeji wa UM, yaani Serekali ya Marekani, ziara ambayo KM mpya anawajibika kuikamilisha.~

Kwa taarifa kamili sikiliza idhaa ya mtandao.