Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nafasi ya elimu ya sanaa katika kueneza na kukuza lugha ya kiswahili

Nafasi ya elimu ya sanaa katika kueneza na kukuza lugha ya kiswahili

Pakua

Hivi karibuni dunia imeadhimisha siku ya Kiswahili duniani ikiwa ni maadhimisho ya tatu, lakini ya kwanza tangu Umoja wa Mataifa utambue Julai 7 kuwa siku ya lugha ya Kiswahili duniani. Kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa maadhimisho yalifanyika Julai 3 maudhui yakiwa nafasi ya elimu ya sanaa katika kueneza na kukuza lugha ya kiswahili. Anold kayanda anakuletea kwa muhtasari yaliyojiri.

Audio Credit
Flora Nducha/Anold Kayanda
Sauti
5'23"
Photo Credit
Umoja wa Mataifa