Jifunze Kiswahili: "Mama ni Mama Hata Kama ni Rikwama"
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili Dkt. Mwanahija Ally Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili visiwani Zanzibar, BAKIZA anachambua methali: Mama ni Mama Hata Kama ni Rikwama!
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ally Juma
Audio Duration
2'18"