JIFUNZE KISWAHILI-METHALI: Asiye na kitoweo humangiria
Pakua
Hii leo katika kujifunza lugha ya kiswahili, Josephat Gitonga Mhadhiri wa Chuo Kikuu Nairobi nchini Kenya katika Kitivo cha Ukalimani anafafanua maana ya methali, Asiye na kitoweo hurumangia.
Audio Credit
Leah Mushi/Josephat Gitonga
Audio Duration
1'17"