"NYIMBO ZA KUFUNZWA HAZIKESHI NGOMA”
Pakua
Katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "NYIMBO ZA KUFUNZWA HAZIKESHI NGOMA”
Audio Credit
Josephat Gitonga
Audio Duration
1'