Skip to main content

Chuja:

Chuo kikuu cha Nairobi

Habari za UN

Methali: Aanguae huanguliwa

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Aanguae huanguliwa.”

Audio Duration
1'10"
UN News

Kiswahili kinalipa-mwanafunzi chuo kikuu cha Nairobi, Kenya

Kiswahili kinazidi kutamba na kutambuliwa kama lugha muhimu hata katika mafunzo ya tafsiri na ukalimani hususan nchini Kenya, katika Makala ya wiki hii Grace Kaneiya  wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amevinjari katika chuo kikuu cha Nairobi kitengo cha tafsiri na ukalimani ambapo amezungumza na mhadhiri katika kitengo hicho vile vile wanafunzi. Kulikoni basi nakupeleka moja kwa moja hadi Nairobi, Kenya.

Sauti
5'53"