Mshikamano katika haki na usawa kwenye ajira ni muhimu:ILO
Pakua
Leo ni siku ya wafanyakazi duniani, au Mei mosi ambapo mataifa ikiwemo yale ya barani Afrika yameadhimisha siku hiyo huku shirika la kazi ulimwenguni ukanda wa Afrika Mashariki likitoa wito kufanya kazi kwa pamoja kwa ajili ya kuchagiza usawa, haki kwa jamii na kuimarisha mazingira ya kazi kwa wote.
Audio Credit
UN News/Patrick Newman
Audio Duration
2'15"