Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatua za Benki ya Dunia dhidi ya Ebola DRC zazaa matunda

Hatua za Benki ya Dunia dhidi ya Ebola DRC zazaa matunda

Pakua

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC harakati zinaendelea ili kutokomeza mlipuko wa Ebola unaoelezwa kuwa ni wa pili kwa ukubwa kuwahi kukumba taifa hilo la Maziwa Makuu.Benki ya Dunia inasaidia sambamba na manusura wa ugonjwa huo wako mstari wa mbele kama anavyosimulia Grace Kaneiya.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'48"
Photo Credit
UNICEF/UN0264160/Hubbard