Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano na mbunge wa Kenya kuhusu uhamiaji

Mahojiano na mbunge wa Kenya kuhusu uhamiaji

Pakua

Wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani wakiwa  makao makuu ya Umoja wa Mataifa  mjini New York Marekani kubadilisha mawazo ya jinsi ya kukabiliana na suala mtambuka la uhamiaji.

Miongoni mwa wabunge wanaoishiriki ni mbunge wa jimbo la Kiambu Kenya  Jude Njomo.Katika mazungumzo na mwanahabari wa UN Siraj Kalyango amezungumzia masuala mbalimbali kuhusu uhamiaji akianza na kwanini watu wanahama kutoka mataifa yao mama. 

Audio Credit
Siraj kalyango
Audio Duration
3'53"
Photo Credit
UN News/Patrick Newman