Wakiwa Somalia, viongozi wa OCHA na FAO waona ujasiri na mnepo wa wanawake
Tunaondoka Somalia tukiwa na simulizi za wengi akiwemo mwanamke mmoja mkimbizi wa ndani kwa zaidi ya miaka 10 lakini sasa ni mfugaji anayeweza kutunza familia yake, amesema Joyce Msuya, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya dharura na kiutu, OCHA.