Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhuru wa kujieleza kama kichocheo cha haki zote za binadamu

Uhuru wa kujieleza kama kichocheo cha haki zote za binadamu

Pakua

Hii leo ikiwa ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maudhui yakiwa Kuumba mustakabali wa Haki: Uhuru wa kujieleza kama kichocheo cha haki zote za binadamu tunakwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako huko mwandishi wetu George Musubao amezungumza na waandishi wa habari kufahamu uzingatiaji wa maudhui ya siku hii halikadhalika kile ambacho wangependa kuona kinafanyika ili haki hiyo ya kupata habari iweze kuzingatiwa na hatimaye iwe kichocheo cha wananchi kupata haki zote.

Audio Credit
Sarah Oleng'/George Musubao
Sauti
6'28"
Photo Credit
UN News/George Musubao