Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baada ya hofu kubwa ya soko Peru, IFAD yaleta matumaini makubwa

Baada ya hofu kubwa ya soko Peru, IFAD yaleta matumaini makubwa

Pakua

Miaka miwili iliyopita, wakulima nchini Peru walikuwa na hofu ya kwamba janga la COVID-19 lingalifuta kabisa masoko yao waliyozoea kuuza mazao kama vile kakao na malimao. Walizoea kuuza sokoni lakini COVID-19 ilifuta masoko hayo kutokana na vizuizi vya kutembea.

Hata hivyo Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD kupitia mradi wa kuchechemua kilimo vijijini baada ya COVID-19 ulileta nuru na sasa wakulima hawaamini kile wakipatacho. Ni kwa vipi basi? Ungana na Assumpta kwenye makala hii iliyoandaliwa na IFAD

Audio Credit
Selina Jerobon/Assumpta Massoi
Sauti
3'9"
Photo Credit
UNDP Guatemala/Caroline Trutmann