Angola badili sheria ya kuengua watu wenye ulemavu kusimamia haki zao- UN
Nchini Angola watu wenye ulemavu hawana haki ya usimamizi wa fedha zao au kuingia mikataba, jambo ambalo limetia hofu Kamati ya Umoja wa Mataifa ya usimamizi wa mkataba wa haki za watu wenye ulemavu, CRPD.