Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Walinda amani wa UN kutoka Tanzania wametufundisha kutumia majembe – Wakulima CAR

Walinda amani wa UN kutoka Tanzania wametufundisha kutumia majembe – Wakulima CAR

Pakua

Wananchi wa Kijiji cha Difolo katika viunga vya mji wa Berberati mkoa wa Mambéré-Kadéï nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR wamewashukuru walinda amani wa kikosi cha 6 kutoka Tanzania kinachohudumu chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo (MINUSCA) baada ya wanalinda amani hao kuwafundisha wananchi hao kulima kwa kutumia jembe la mkono badala ya kulima kwa kutumia panga. Kapteni Mwijage Francis Inyoma ni Afisa Habari wa kikosi hicho ameandaa makala hii. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/Mwijage Francis Inyoma
Audio Duration
4'16"
Photo Credit
© MINUSCA