Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwaka mmoja wa uvamizi wa Urusi Ukraine, UN yataka vita ikome 

Mwaka mmoja wa uvamizi wa Urusi Ukraine, UN yataka vita ikome 

Pakua

Hii leo ni mwaka mmoja tangu Urusi ivamie Ukraine! Ndani ya mwaka mmoja wa uvamizi huo, zaidi ya watu 8,000,000 wamekimbia nchi hiyo, zaidi ya 5,000,000 ni wakimbizi wa ndani ilhali theluthi moja ya wananchi wote hawako kwenye makazi yao. Watu milioni 17.6 wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu ambapo zaidi ya milioni 16 wameshafikiwa na msaada muhimu. Nini kimetokea katika mwaka huo mmoja? Umoja wa Mataifa umechukua hatua gani kufikia wahitaji? Assumpta Massoi anasimulia katika makala hii. 

 

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
6'30"
Photo Credit
© UNDP/Oleksandr Ratushniak