METHALI: Kinga na kinga ndipo moto huwaka
Pakua
Hii leo katika Jifunze Lugha ya Kiswahili, Dkt. Josephat Gitonga ambaye ni Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu Nairobi nchini Kenya, kitengo cha Utafsiri na Ukalimani anachambua maana ya methali, Kinga na kinga ndipo moto huwaka. Karibu!
Audio Credit
Assumpta Massoi/Josephat Gitonga
Audio Duration
1'