Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 Desemba 2021

22 Desemba 2021

Pakua

Hii leo jaridani ni mahsusi kabisa kwa kukutakia sikukuu njema ya Krismasi na mwaka mpya 2022 wenye ustawi na salamu ni kutoka kwa wanaidhaa ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa wengine walioko mashinani wadau wetu. Lakini pia kuna habari kwa ufupi kuhusu Yemen na mgao wa chakula, hali mbaya ya watoto Afghanistan bila kusahamu mashinani ujumbe mahsusi kutoka WHO wa kutaka watu wawe makini msimu huu wa sikukuu ili kuepusha maambukizi ya COVID-19. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
9'57"