Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

10 Desemba 2021

10 Desemba 2021

Pakua

Ni ijumaa ya tarehe 10 mwezi Desemba mwaka 2021 siku ya haki za binadamu duniani, karibu tuwe sote katika mada kwa kina ambayo leo inaangazia haki za kisheria nchini Uganda, wananchi, polisi na kamisheni ya haki za binadamu wana yapi ya kusema.

Lakini pia utasikia habari kwa ufupi zikiangazia siku hii ya haki za binadamu na ushauri uliotolewa na WHO kwa nchi zenye kipato cha chini na cha kati kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza. 

 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'5"