Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kijana mwanamazingira Rebecca Laibich ajitolea kufundisha wengine

Kijana mwanamazingira Rebecca Laibich ajitolea kufundisha wengine

Pakua

Katika makala hii leo tunajiunga na mwandishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi akizungumza na Rebecca Laibich, kijana mwenye umri wa miaka 25 mwanaharakati wa kuhifadhi mazingira nchini Kenya na mfanyakazi wa kujitolea wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO, ambaye amejitwika jukumu la kuwafunza vijana wenzie kuhusu umuhimu na njia za kutunza mazingira.

Audio Credit
Leah Mushi / Jason Nyakundi
Audio Duration
3'20"
Photo Credit
World Bank/Flore de Preneuf