25 Oktoba 2021
Pakua
Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo katika mada kwa kina tutazungumzia mafunzo ya upishi wa chakula cha asili kwa watoto wakike na wakiume
Katika taarifa yetu ya Habari kwa ufupi tunaangazia mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan na kauli zilizotolewa na viongozi wa Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'37"