Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

19 Julai 2021

19 Julai 2021

Pakua

Jaridani Julai 19, 2021-

Jarida limeanza na mukhtasari wa habari muhimu, makala yetu la leo inaangazia ujumuishwaji wa vijana katika kufanikisha mfumo endelevu wa chakula kuanzia shambani hadi mezani. Na mashinani ni mafunzo kwa wakulima huko Jordan kwa ufadhili wa shirika la kazi duniani. ILO.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
10'24"