Raia wa Uganda wahimiza bunge jipya kuzingatia utekelezaji wa SDGs
Pakua
Serikali kote dunani zina mchango mkubwa katika utekelezaji wa malenngo ya maendeleo endelevu au SDGs. Nchini Uganda viongozi wa ngazi mbalimbali wa kisiasa wameapishwa baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwanzoni mwa mwaka huu. Mwandishi wetu wa Uganda John Kibego amevinjari kusaka yale ambayo raia wa Uganda wanatarajia wabunge hao kufanya ili malengo ya maendeelo endelevu yafikiwe katika muongo huu wa mwisho kuelekea mwaka 2030. Ungana naye katika makala ifuatayo.
Audio Credit
Anold Kayanda/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'31"