Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Pamoja na changamoto ya COVID-19, kijana mkimbizi Uganda ajivunia mafaniko.

Pamoja na changamoto ya COVID-19, kijana mkimbizi Uganda ajivunia mafaniko.

Pakua

Licha ya mlipuko wa COVID-19 nchini Uganda kuenea hadi katika makambi ya wakimbizi ikiwemo Kyangwali na kuathiri uchumi na maisha kijamii, baadhi ya wakimbizi wamepata mafanikio na kuwa matumaini na mwaka ujao wa 2021.

Mwandishi wetu wa Uganda John Kibego amezungumza na kijana Kento Safari ambaye ni mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, anayejevunia mafanikio yake katika nyanja ya muziki, mipango yake mwakani na pia kuuomba Umoja wa Mataifa kuwapa msaada zaidi. 

Audio Credit
Anold Kayanda/John Kabambala
Sauti
3'29"
Photo Credit
UNICEF/Jimmy Adriko