Ghasia zimesababisha watu zaidi kuendelea kukimbia Cabo Delgado
Pakua
Makumi ya maelfu ya wananchi wanaendelea kukimbia ghasia jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji huku serikali na wadau wa kibinadamu wakishindwa kukidhi mahitaji ya watu hao ya malazi, chakula na misaada mingine.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Sauti
2'27"