Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chanda chema huvikwa pete ni hali ya mshindi wa tuzo ya UN ya afisa wa polisi mwaka 2020

Chanda chema huvikwa pete ni hali ya mshindi wa tuzo ya UN ya afisa wa polisi mwaka 2020

Pakua

Inspekta mkuu Doreen Malambo raia wa Zambia ambaye ni mshindi wa tuzo ya Umoja wa Mataifa ya afisa wa polisi kwa mwaka wa 2020, leo amekabidhiwa tuzo yake katika hafla maalum iliyofanyika kwa njia ya mtandao.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'59"
Photo Credit
UNMISS