Nitatumia uzoefu wangu kusaidia wengine-Zachariah
Pakua
Mtoto mhamiaji kutoka nchini Ghana ambaye sasa anaishi nchini Ugiriki amesema kutokana na yale aliyopitia, safari ngumu ya kunusurika kifo na sasa angalau anaona mwanga mwishoni mwa tanuru, amejizatiti kusaka elimu na ufahamu ili hatimaye asaidie watoto wengine kwa kuwa anafahamu maana ya maisha ya kukosa.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Anold Kayanda
Audio Duration
2'35"