Wahamiaji wengi kutoka Afrika wanasalia Afrika-Ripoti
Pakua
Ripoti mpya na ya kwanza kabisa ya uhamiaji Afrika iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM na tume ya Muungano wa Afrika AUC, imebaini kwamba wahamiaji wengi wa bara hilo hawaendi kwingineko bali barani mwao Afrika.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Jason Nyakundi
Audio Duration
1'56"