Teknolojia ya dijitali imetupa suluhisho la mambo mengi-Vijana Kenya
Pakua
Teknolojia ya dijitali imeleta mabadiliko makubwa na ya haraka duniani; uchumi, mawasiliano, elimu na nyingine nyingi. Teknolojia ni moja ya ajenda zinazozungumziwa kwenye mkutano mkuu wa 75 wa Baraza la Umoja wa Mataifa. Asilimia kubwa ya watumiaji wa teknolojia ya dijitali ni vijana ambao wana muda wa kutosha kuitumia katika mambo tofauti. Mwandishi wa Nairobi Jason Nyakundi amezungumza na vijana kuhusu ni kwa njia zipi wanaitumia teknolojia.
Audio Credit
Anold Kayanda\Jason Nyakundi
Audio Duration
3'25"