Skip to main content

Chuja:

teknolojia ya kidijitali

Jarida 18 Agosti 2021

Katika jarida hii leo utasikia kuhusu uzinduzi wa mkakati wa Mabadiliko ya Kidigitali ya Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa. Pia utasikia wakimbizi wa ndani nchini Somalia wanavyoteseka na njaa pamoja na utoaji chanjo kwa wakimbizi wa Rohingya huko kambini Coxs Bazar.

katika makala leo tunaangazia utunzaji wa mazingira kwa vijana nchini Rwanda. 

Sauti
13'7"
World Bank/Simone D. McCourtie

Teknolojia ya dijitali imetupa suluhisho la mambo mengi-Vijana Kenya

Teknolojia ya dijitali imeleta  mabadiliko makubwa na ya haraka duniani;  uchumi, mawasiliano,  elimu na nyingine nyingi. Teknolojia ni moja ya ajenda zinazozungumziwa kwenye mkutano mkuu wa 75 wa Baraza la Umoja wa Mataifa. Asilimia kubwa ya watumiaji wa teknolojia ya dijitali ni vijana ambao wana muda wa kutosha kuitumia katika mambo tofauti. Mwandishi wa Nairobi Jason Nyakundi amezungumza  na vijana kuhusu ni kwa njia zipi wanaitumia teknolojia.

Sauti
3'25"